Zaburi 103:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Msifuni Yehova, enyi malaika wake wote,+ mlio na nguvu nyingi,Mnaotekeleza neno lake,+ mkitii sauti yake.* Danieli 7:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “Nikaendelea kuangalia katika maono ya usiku, na tazama! mtu fulani kama mwana wa binadamu+ alikuwa akija na mawingu ya mbinguni; naye akaja mbele za Mzee wa Siku,+ nao wakamleta karibu Naye.
20 Msifuni Yehova, enyi malaika wake wote,+ mlio na nguvu nyingi,Mnaotekeleza neno lake,+ mkitii sauti yake.*
13 “Nikaendelea kuangalia katika maono ya usiku, na tazama! mtu fulani kama mwana wa binadamu+ alikuwa akija na mawingu ya mbinguni; naye akaja mbele za Mzee wa Siku,+ nao wakamleta karibu Naye.