2 Wafalme 19:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Usiku huohuo malaika wa Yehova alienda na kuwaua wanaume 185,000 katika kambi ya Waashuru.+ Watu walipoamka asubuhi na mapema, waliona maiti zote hizo.+ Luka 1:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Malaika akamjibu: “Mimi ni Gabrieli,+ ninayesimama karibu mbele za Mungu,+ nami nilitumwa nizungumze nawe na kukutangazia habari hii njema.
35 Usiku huohuo malaika wa Yehova alienda na kuwaua wanaume 185,000 katika kambi ya Waashuru.+ Watu walipoamka asubuhi na mapema, waliona maiti zote hizo.+
19 Malaika akamjibu: “Mimi ni Gabrieli,+ ninayesimama karibu mbele za Mungu,+ nami nilitumwa nizungumze nawe na kukutangazia habari hii njema.