-
Ayubu 1:6-8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
6 Basi siku ilifika ambayo wana wa Mungu*+ wa kweli waliingia na kusimama mbele za Yehova,+ Shetani+ pia akaingia kati yao.+
7 Ndipo Yehova akamuuliza Shetani: “Umetoka wapi?” Shetani akamjibu Yehova: “Nimetoka kuzururazurura na kutembeatembea duniani.”+ 8 Yehova akamwambia Shetani: “Je, umemwona* mtumishi wangu Ayubu? Hakuna yeyote aliye kama yeye duniani. Yeye ni mtu mnyoofu na mtimilifu,*+ anayemwogopa Mungu na kuepuka uovu.”
-