Yohana 5:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Msistaajabie jambo hili, kwa sababu saa inakuja ambayo wale wote waliomo ndani ya makaburi ya ukumbusho+ wataisikia sauti yake Matendo 10:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Pia, alituagiza sisi tuwahubirie+ watu na kutoa ushahidi kamili kwamba Huyu ndiye aliyeagizwa na Mungu kuwa mwamuzi wa walio hai na wafu.+
28 Msistaajabie jambo hili, kwa sababu saa inakuja ambayo wale wote waliomo ndani ya makaburi ya ukumbusho+ wataisikia sauti yake
42 Pia, alituagiza sisi tuwahubirie+ watu na kutoa ushahidi kamili kwamba Huyu ndiye aliyeagizwa na Mungu kuwa mwamuzi wa walio hai na wafu.+