24 Kwa habari yenu, acheni lile ambalo mmesikia tangu mwanzo likae ndani yenu.+ Ikiwa lile ambalo mmesikia tangu mwanzo linakaa ndani yenu, ninyi pia mtakaa katika muungano+ na Mwana na katika muungano na Baba.+
20 Tazama! Nimesimama mlangoni+ na kupiga hodi. Mtu yeyote akiisikia sauti yangu na kuufungua mlango,+ nitaingia ndani ya nyumba yake na kula mlo wa jioni pamoja naye, yeye naye pamoja nami.