23 Yesu akajibu, akamwambia: “Ikiwa yeyote ananipenda, atalishika+ neno langu, na Baba yangu atampenda, nasi hakika tutakuja kwake na kukaa pamoja naye.+
6 Na upendo unamaanisha hivi,+ kwamba tuendelee kutembea kulingana na amri+ zake. Hii ndiyo amri, kama vile mlivyosikia tangu mwanzo, kwamba mnapaswa kuendelea kutembea ndani yake.+