Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 15:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Tazama! Huko pamoja nao kuna wana wao wawili, Ahimaazi+ wa Sadoki na Yonathani+ wa Abiathari; nanyi mwatumie hao kuniletea kila jambo ambalo huenda mkalisikia.”

  • 2 Samweli 17:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na sasa tuma ujumbe haraka na umwambie Daudi,+ ukisema, ‘Usiku wa leo usilale katika nchi tambarare za jangwa la nyikani, lakini wewe pia usikose kuvuka,+ ili mfalme na watu wote walio pamoja naye wasije wakamezwa.’”+

  • 2 Samweli 17:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na ikawa kwamba baada ya kuondoka kwao, ndipo wakatoka ndani ya kile kisima, wakaenda, wakamweleza Daudi na kumwambia Daudi: “Ondokeni, vukeni juu ya maji mbiombio; kwa maana hivi ndivyo Ahithofeli alivyotoa shauri+ juu yenu.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki