2 Samweli 15:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Ulikuja jana tu, kwa nini leo nikufanye utange-tange pamoja nasi, uende wakati ninapohitaji kwenda na mahali popote ninapoenda? Rudi pamoja na ndugu zako, na Yehova akutendee kwa upendo mshikamanifu na kwa uaminifu!”+
20 Ulikuja jana tu, kwa nini leo nikufanye utange-tange pamoja nasi, uende wakati ninapohitaji kwenda na mahali popote ninapoenda? Rudi pamoja na ndugu zako, na Yehova akutendee kwa upendo mshikamanifu na kwa uaminifu!”+