Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 2:5, 6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Basi Daudi akawatuma wajumbe kwa watu wa Yabesh-gileadi na kuwaambia: “Yehova na awabariki, kwa sababu mlimtendea bwana wenu, Sauli, kwa upendo mshikamanifu kwa kumzika.+ 6 Yehova na awatendee kwa upendo mshikamanifu na uaminifu. Mimi pia nitawatendea fadhili kwa sababu mmefanya jambo hili.+

  • Zaburi 25:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Njia zote za Yehova ni upendo mshikamanifu na uaminifu

      Kwa wale wanaoshika agano lake+ na vikumbusho vyake.+

  • Zaburi 57:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Atatuma msaada kutoka mbinguni na kuniokoa.+

      Atamtamausha yule anayejaribu kuning’ata. (Sela)

      Mungu atatuma upendo wake mshikamanifu na uaminifu wake.+

  • Zaburi 61:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Ataketi kwenye kiti cha ufalme* milele mbele za Mungu;+

      Mpe upendo wako mshikamanifu na uaminifu, ili vimlinde.+

  • Zaburi 89:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Uadilifu na haki ndio msingi wa kiti chako cha ufalme;+

      Upendo mshikamanifu na uaminifu husimama mbele zako.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki