Kutoka 34:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yehova alipita mbele yake akitangaza: “Mimi Yehova, Yehova, ni Mungu mwenye rehema+ na huruma,*+ si mwepesi wa hasira,+ nina upendo mwingi mshikamanifu*+ na kweli,*+ Yeremia 9:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 “Lakini yule anayejigamba na ajigambe* kwa jambo hili: Kwamba ana ufahamu na ujuzi kunihusu,+Kwamba mimi ni Yehova, Ninayetenda kwa upendo mshikamanifu, haki, na uadilifu duniani,+Kwa maana ninapendezwa na mambo hayo,”+ asema Yehova.
6 Yehova alipita mbele yake akitangaza: “Mimi Yehova, Yehova, ni Mungu mwenye rehema+ na huruma,*+ si mwepesi wa hasira,+ nina upendo mwingi mshikamanifu*+ na kweli,*+
24 “Lakini yule anayejigamba na ajigambe* kwa jambo hili: Kwamba ana ufahamu na ujuzi kunihusu,+Kwamba mimi ni Yehova, Ninayetenda kwa upendo mshikamanifu, haki, na uadilifu duniani,+Kwa maana ninapendezwa na mambo hayo,”+ asema Yehova.