1 Wakorintho 1:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 ili iwe kama ilivyoandikwa: “Yule anayejisifu, na ajisifu katika Yehova.”*+ 2 Wakorintho 10:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Lakini yule anayejisifu, na ajisifu katika Yehova.”*+