Kutoka 34:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yehova alipita mbele yake akitangaza: “Mimi Yehova, Yehova, ni Mungu mwenye rehema+ na huruma,*+ si mwepesi wa hasira,+ nina upendo mwingi mshikamanifu*+ na kweli,*+ Zaburi 89:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Uadilifu na haki ndio msingi wa kiti chako cha ufalme;+Upendo mshikamanifu na uaminifu husimama mbele zako.+
6 Yehova alipita mbele yake akitangaza: “Mimi Yehova, Yehova, ni Mungu mwenye rehema+ na huruma,*+ si mwepesi wa hasira,+ nina upendo mwingi mshikamanifu*+ na kweli,*+
14 Uadilifu na haki ndio msingi wa kiti chako cha ufalme;+Upendo mshikamanifu na uaminifu husimama mbele zako.+