Zaburi 99:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yeye ni mfalme hodari anayependa haki.+ Umeimarisha kabisa mambo manyoofu. Umetekeleza haki na uadilifu+ katika Yakobo. Hosea 6:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana ninapendezwa na upendo mshikamanifu,* si dhabihu,Na kumjua Mungu, badala ya dhabihu nzima za kuteketezwa.+ Mika 6:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ee mwanadamu, amekuambia yaliyo mema. Na Yehova anataka* nini kutoka kwako? Anataka tu utekeleze haki,*+ uthamini sana ushikamanifu,*+Na utembee kwa kiasi+ na Mungu wako!+ Mika 7:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ni Mungu gani aliye kama wewe,Unayesamehe dhambi na kuachilia makosa+ ya watu waliobaki wa urithi wako?+ Hutaendelea kuwa na hasira milele,Kwa maana unapendezwa na upendo mshikamanifu.+
4 Yeye ni mfalme hodari anayependa haki.+ Umeimarisha kabisa mambo manyoofu. Umetekeleza haki na uadilifu+ katika Yakobo.
6 Kwa maana ninapendezwa na upendo mshikamanifu,* si dhabihu,Na kumjua Mungu, badala ya dhabihu nzima za kuteketezwa.+
8 Ee mwanadamu, amekuambia yaliyo mema. Na Yehova anataka* nini kutoka kwako? Anataka tu utekeleze haki,*+ uthamini sana ushikamanifu,*+Na utembee kwa kiasi+ na Mungu wako!+
18 Ni Mungu gani aliye kama wewe,Unayesamehe dhambi na kuachilia makosa+ ya watu waliobaki wa urithi wako?+ Hutaendelea kuwa na hasira milele,Kwa maana unapendezwa na upendo mshikamanifu.+