Zaburi 40:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ee Yehova, usininyime rehema yako. Upendo wako mshikamanifu na ukweli wako na unilinde daima.+ Zaburi 143:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Katika upendo wako mshikamanifu, waangamize* maadui wangu;+Waangamize wote wanaoninyanyasa,+Kwa maana mimi ni mtumishi wako.+ Methali 20:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Upendo mshikamanifu na uaminifu humlinda mfalme;+Kwa upendo mshikamanifu anadumisha kiti chake cha ufalme.+
12 Katika upendo wako mshikamanifu, waangamize* maadui wangu;+Waangamize wote wanaoninyanyasa,+Kwa maana mimi ni mtumishi wako.+
28 Upendo mshikamanifu na uaminifu humlinda mfalme;+Kwa upendo mshikamanifu anadumisha kiti chake cha ufalme.+