7 “Sasa ikiwa mwanamume huyo hapendezwi kumchukua mjane wa ndugu yake, mjane wa ndugu yake ataenda langoni kwa wanaume wazee+ na kusema, ‘Ndugu ya mume wangu amekataa kuhifadhi jina la ndugu yake katika Israeli. Hakukubali kufanya ndoa ya ndugu-mkwe pamoja nami.’
4Naye Boazi akaenda langoni+ na kuketi hapo. Na, tazama! yule mkombozi ambaye Boazi alikuwa amemtaja+ alikuwa akipita. Basi akasema: “Njoo, keti hapa, Fulani wa Fulani.” Basi akaja na kuketi.