Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 16:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Utaweka waamuzi+ na maofisa+ kwa ajili yako ndani ya malango yote ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe kulingana na makabila yako, nao watawahukumu watu kwa hukumu ya uadilifu.

  • Kumbukumbu la Torati 21:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 baba yake na mama yake watamshika na kumtoa nje mpaka kwa wanaume wazee wa jiji lake na kwenye lango la mahali pake,+

  • Kumbukumbu la Torati 22:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 baba ya msichana huyo na mama yake wataleta uthibitisho wa ubikira wa msichana huyo kwa wanaume wazee wa jiji hilo kwenye lango lake;+

  • Kumbukumbu la Torati 25:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Sasa ikiwa mwanamume huyo hapendezwi kumchukua mjane wa ndugu yake, mjane wa ndugu yake ataenda langoni kwa wanaume wazee+ na kusema, ‘Ndugu ya mume wangu amekataa kuhifadhi jina la ndugu yake katika Israeli. Hakukubali kufanya ndoa ya ndugu-mkwe pamoja nami.’

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki