2 Samweli 15:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa maana mimi mtumishi wako nilipokuwa nikiishi Geshuri+ huko Siria niliweka nadhiri hii takatifu:+ ‘Ikiwa Yehova atanirudisha Yerusalemu, nitamtolea Yehova dhabihu.’”*
8 Kwa maana mimi mtumishi wako nilipokuwa nikiishi Geshuri+ huko Siria niliweka nadhiri hii takatifu:+ ‘Ikiwa Yehova atanirudisha Yerusalemu, nitamtolea Yehova dhabihu.’”*