Methali 18:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kuna rafiki wanaoelekea kuvunjana vipande-vipande,+ lakini yuko rafiki anayeshikamana na mtu kwa ukaribu zaidi kuliko ndugu.+ Luka 22:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 “Hata hivyo, ninyi ndio mmeshikamana+ nami katika majaribu yangu;+ Yohana 15:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ninyi ni rafiki zangu ikiwa mnafanya ninalowaamuru ninyi.+ 1 Wakorintho 4:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mbali na hilo, katika hali hii, kinachoangaliwa katika wasimamizi-nyumba+ ni mtu kupatwa akiwa mwaminifu.+
24 Kuna rafiki wanaoelekea kuvunjana vipande-vipande,+ lakini yuko rafiki anayeshikamana na mtu kwa ukaribu zaidi kuliko ndugu.+
2 Mbali na hilo, katika hali hii, kinachoangaliwa katika wasimamizi-nyumba+ ni mtu kupatwa akiwa mwaminifu.+