12 Baadaye Mordekai akarudi kwenye lango la mfalme.+ Lakini Hamani akafanya haraka kwenda nyumbani kwake akiomboleza, na kichwa chake kikiwa kimefunikwa.+
3 Na watu wao walio mashuhuri wamewatuma watu wao walio wanyonge walete maji.+ Wamekuja kwenye mitaro. Hawakupata maji.+ Wamerudi vyombo vyao vikiwa vitupu. Wamepatwa na aibu+ na kukata tamaa, nao wamekifunika kichwa chao.+