Yeremia 14:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na mabwana wao wanawatuma watumishi wao* walete maji. Wanaenda kwenye visima* lakini hawapati maji. Wanarudi vyombo vyao vikiwa vitupu. Wameaibika na kukata tamaa,Nao wanavifunika vichwa vyao.
3 Na mabwana wao wanawatuma watumishi wao* walete maji. Wanaenda kwenye visima* lakini hawapati maji. Wanarudi vyombo vyao vikiwa vitupu. Wameaibika na kukata tamaa,Nao wanavifunika vichwa vyao.