Yeremia 14:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na watu wao walio mashuhuri wamewatuma watu wao walio wanyonge walete maji.+ Wamekuja kwenye mitaro. Hawakupata maji.+ Wamerudi vyombo vyao vikiwa vitupu. Wamepatwa na aibu+ na kukata tamaa, nao wamekifunika kichwa chao.+
3 Na watu wao walio mashuhuri wamewatuma watu wao walio wanyonge walete maji.+ Wamekuja kwenye mitaro. Hawakupata maji.+ Wamerudi vyombo vyao vikiwa vitupu. Wamepatwa na aibu+ na kukata tamaa, nao wamekifunika kichwa chao.+