Zaburi 40:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na waone aibu na kufedheheka wote pamoja+Wale wanaoitafuta nafsi yangu wapate kuifagilia mbali.+Wale wanaopendezwa na msiba wangu na wageuke na kufedheheshwa.+ Zaburi 109:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Wale wanaonipinga na wavikwe fedheha,+Na acha wavae wenyewe aibu yao kana kwamba ni koti lisilo na mikono.+ Isaya 45:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Hakika wote wataona aibu na kufedheheshwa.+ Watengenezaji wa maumbo ya sanamu watatembea kwa kufedheheka pamoja.
14 Na waone aibu na kufedheheka wote pamoja+Wale wanaoitafuta nafsi yangu wapate kuifagilia mbali.+Wale wanaopendezwa na msiba wangu na wageuke na kufedheheshwa.+
29 Wale wanaonipinga na wavikwe fedheha,+Na acha wavae wenyewe aibu yao kana kwamba ni koti lisilo na mikono.+
16 Hakika wote wataona aibu na kufedheheshwa.+ Watengenezaji wa maumbo ya sanamu watatembea kwa kufedheheka pamoja.