Zaburi 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Adui zangu wote wataona aibu+ sana na kuwa na wasiwasi;Watageuka, wataona aibu ghafula.+ Zaburi 35:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Na waone aibu na kufedheheka wote pamoja+Wanaoshangilia msiba wangu.+Na wavikwe aibu+ na fedheha wale wanaojivuna sana dhidi yangu.+ Zaburi 132:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Adui zake nitawavika aibu;+Lakini taji+ lake litasitawi juu yake.”+
26 Na waone aibu na kufedheheka wote pamoja+Wanaoshangilia msiba wangu.+Na wavikwe aibu+ na fedheha wale wanaojivuna sana dhidi yangu.+