Zaburi 25:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mapito yote ya Yehova ni fadhili zenye upendo na ukweliKwa wale wanaoshika agano lake+ na vikumbusho vyake.+ Zaburi 57:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Atatuma kutoka mbinguni na kuniokoa.+Hakika atamvuruga yule anayenitanulia kinywa.+ Sela.Mungu atatuma fadhili zake zenye upendo na ukweli wake.+ Zaburi 61:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Atakaa mpaka wakati usio na kipimo mbele za Mungu;+Uagize fadhili zenye upendo na ukweli, ili zipate kumlinda.+ Zaburi 85:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nazo fadhili zenye upendo na ukweli, zimekutana;+Uadilifu na amani—zimepigana busu.+ Zaburi 89:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Uadilifu na hukumu ndizo mahali palipofanywa imara pa kiti chako cha ufalme;+Fadhili zenye upendo na ukweli zinaingia mbele za uso wako.+
10 Mapito yote ya Yehova ni fadhili zenye upendo na ukweliKwa wale wanaoshika agano lake+ na vikumbusho vyake.+
3 Atatuma kutoka mbinguni na kuniokoa.+Hakika atamvuruga yule anayenitanulia kinywa.+ Sela.Mungu atatuma fadhili zake zenye upendo na ukweli wake.+
7 Atakaa mpaka wakati usio na kipimo mbele za Mungu;+Uagize fadhili zenye upendo na ukweli, ili zipate kumlinda.+
14 Uadilifu na hukumu ndizo mahali palipofanywa imara pa kiti chako cha ufalme;+Fadhili zenye upendo na ukweli zinaingia mbele za uso wako.+