Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 40:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Mwone kila mtu mwenye majivuno, mnyenyekeze,+

      Na uwakanyagie chini waovu palepale walipo.

  • Methali 6:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 macho ya majivuno,+ ulimi wa uwongo,+ na mikono inayomwaga damu isiyo na hatia,+

  • Methali 8:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kumwogopa Yehova humaanisha kuchukia yaliyo mabaya.+ Nimechukia kujiinua na kiburi+ na njia mbaya na kinywa kipotovu.+

  • Methali 21:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Macho yenye majivuno na moyo wa kiburi,+ taa ya waovu, ni dhambi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki