Ayubu 40:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Mwone kila mtu mwenye majivuno, mnyenyekeze,+Na uwakanyagie chini waovu palepale walipo. Methali 6:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 macho ya majivuno,+ ulimi wa uwongo,+ na mikono inayomwaga damu isiyo na hatia,+ Methali 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kumwogopa Yehova humaanisha kuchukia yaliyo mabaya.+ Nimechukia kujiinua na kiburi+ na njia mbaya na kinywa kipotovu.+ Methali 21:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Macho yenye majivuno na moyo wa kiburi,+ taa ya waovu, ni dhambi.+
13 Kumwogopa Yehova humaanisha kuchukia yaliyo mabaya.+ Nimechukia kujiinua na kiburi+ na njia mbaya na kinywa kipotovu.+