Waroma 12:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa sababu hiyo nawasihi ninyi kwa huruma za Mungu, akina ndugu, mtoe miili+ yenu iwe dhabihu+ iliyo hai,+ takatifu,+ yenye kukubalika kwa Mungu,+ utumishi mtakatifu+ pamoja na nguvu zenu za kufikiri.+ 1 Wakorintho 12:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Basi ninyi ni mwili wa Kristo, nanyi ni viungo mkiwa mmoja-mmoja.+ Waefeso 4:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 kwa kusudi la kuwarekebisha+ upya watakatifu, kwa ajili ya kazi ya huduma, kwa ajili ya kuujenga mwili wa Kristo,+
12 Kwa sababu hiyo nawasihi ninyi kwa huruma za Mungu, akina ndugu, mtoe miili+ yenu iwe dhabihu+ iliyo hai,+ takatifu,+ yenye kukubalika kwa Mungu,+ utumishi mtakatifu+ pamoja na nguvu zenu za kufikiri.+
12 kwa kusudi la kuwarekebisha+ upya watakatifu, kwa ajili ya kazi ya huduma, kwa ajili ya kuujenga mwili wa Kristo,+