1 Wakorintho 14:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Basi, nini lifanywe akina ndugu? Mnapokuja pamoja, mmoja ana zaburi, mwingine ana fundisho, mwingine ana ufunuo, mwingine ana lugha, mwingine ana fasiri.+ Mambo yote na yatendeke kwa ajili ya kujenga.+
26 Basi, nini lifanywe akina ndugu? Mnapokuja pamoja, mmoja ana zaburi, mwingine ana fundisho, mwingine ana ufunuo, mwingine ana lugha, mwingine ana fasiri.+ Mambo yote na yatendeke kwa ajili ya kujenga.+