Kutoka 15:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Musa akamlilia Yehova,+ naye Yehova akamwelekeza kwenye mti fulani. Alipoutupa ndani ya maji hayo, yakawa matamu. Huko Mungu akawawekea sharti na msingi wa hukumu, na huko Mungu akawajaribu.+
25 Musa akamlilia Yehova,+ naye Yehova akamwelekeza kwenye mti fulani. Alipoutupa ndani ya maji hayo, yakawa matamu. Huko Mungu akawawekea sharti na msingi wa hukumu, na huko Mungu akawajaribu.+