4 Ndipo Yehova akamwambia Musa: “Tazama, ninawanyeshea mkate kutoka mbinguni,+ na kila mtu anapaswa kwenda kukusanya kiasi kinachomtosha siku baada ya siku,+ ili niwajaribu nione kama watafuata sheria yangu au la.+
2 Kumbukeni njia ndefu ambayo Yehova Mungu wenu alifanya mtembee nyikani kwa miaka hii 40,+ ili awanyenyekeze na kuwajaribu+ ili ajue yaliyokuwa mioyoni mwenu,+ aone kama mngezishika amri zake au la.