Kutoka 16:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ndipo Yehova akamwambia Musa: “Tazama, ninawanyeshea mkate kutoka mbinguni,+ na kila mtu anapaswa kwenda kukusanya kiasi kinachomtosha siku baada ya siku,+ ili niwajaribu nione kama watafuata sheria yangu au la.+ Kutoka 20:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa hiyo Musa akawaambia watu: “Msiogope, kwa sababu Mungu wa kweli amekuja kuwajaribu,+ ili mwendelee kumwogopa, msitende dhambi.”+
4 Ndipo Yehova akamwambia Musa: “Tazama, ninawanyeshea mkate kutoka mbinguni,+ na kila mtu anapaswa kwenda kukusanya kiasi kinachomtosha siku baada ya siku,+ ili niwajaribu nione kama watafuata sheria yangu au la.+
20 Kwa hiyo Musa akawaambia watu: “Msiogope, kwa sababu Mungu wa kweli amekuja kuwajaribu,+ ili mwendelee kumwogopa, msitende dhambi.”+