Yoshua 24:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Kwa hiyo, mwogopeni Yehova na kumtumikia kwa utimilifu* na uaminifu,*+ ondoeni miungu ambayo mababu zenu waliabudu ng’ambo ya Mto* na nchini Misri,+ nanyi mtumikieni Yehova. Ayubu 28:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Naye akamwambia mwanadamu: ‘Tazama! Kumwogopa Yehova—hiyo ndiyo hekima,+Na kuepuka uovu ni uelewaji.’”+ Methali 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kumwogopa* Yehova ndio mwanzo wa ujuzi.+ Ni wapumbavu tu wanaodharau hekima na nidhamu.+
14 “Kwa hiyo, mwogopeni Yehova na kumtumikia kwa utimilifu* na uaminifu,*+ ondoeni miungu ambayo mababu zenu waliabudu ng’ambo ya Mto* na nchini Misri,+ nanyi mtumikieni Yehova.
28 Naye akamwambia mwanadamu: ‘Tazama! Kumwogopa Yehova—hiyo ndiyo hekima,+Na kuepuka uovu ni uelewaji.’”+