Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 4:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ni lazima mzifuate kwa uangalifu,+ kwa sababu watu watakaosikia kuhusu masharti haya yote wataona kwamba mna hekima+ na uelewaji,+ nao watasema, ‘Kwa hakika watu wa taifa hili kubwa wana hekima na uelewaji.’+

  • Zaburi 111:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kumwogopa Yehova ni mwanzo wa hekima.+

      ש [Sin]

      Wale wote wanaotii maagizo yake wana ufahamu mzuri.+

      ת [Taw]

      Sifa yake hudumu milele.

  • Methali 9:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kumwogopa Yehova ndio mwanzo wa hekima,+

      Na kumjua Aliye Mtakatifu Zaidi+ ni uelewaji.

  • Mhubiri 12:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Huu ndio umalizio, baada ya mambo yote kusikiwa: Mwogope Mungu wa kweli+ na ushike amri zake,+ kwa maana huu ndio wajibu wote wa mwanadamu.+

  • Waroma 1:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa maana sifa zake zisizoonekana, zinaonekana waziwazi tangu kuumbwa kwa ulimwengu na kuendelea, kwa sababu zinaeleweka kupitia vitu vilivyoumbwa,+ yaani, nguvu zake za milele+ na Uungu,+ hivi kwamba hawana sababu ya kujitetea.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki