Zaburi 103:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Yehova amekiimarisha kabisa kiti chake cha ufalme mbinguni;+Nao ufalme wake unatawala kila kitu.+ Yeremia 10:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini kwa kweli Yehova ni Mungu. Yeye ndiye Mungu aliye hai+ na Mfalme wa milele.+ Kwa sababu ya ghadhabu yake dunia itatetemeka,+Na hakuna taifa litakalostahimili shutuma yake. Ufunuo 15:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Walikuwa wanaimba wimbo wa Musa+ mtumwa wa Mungu na wimbo wa Mwanakondoo,+ wakisema: “Matendo yako ni makuu na ya ajabu,+ Yehova* Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za uadilifu na za kweli,+ Mfalme wa umilele.+
10 Lakini kwa kweli Yehova ni Mungu. Yeye ndiye Mungu aliye hai+ na Mfalme wa milele.+ Kwa sababu ya ghadhabu yake dunia itatetemeka,+Na hakuna taifa litakalostahimili shutuma yake.
3 Walikuwa wanaimba wimbo wa Musa+ mtumwa wa Mungu na wimbo wa Mwanakondoo,+ wakisema: “Matendo yako ni makuu na ya ajabu,+ Yehova* Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za uadilifu na za kweli,+ Mfalme wa umilele.+