7 Kwa hiyo hawapaswi tena kutoa dhabihu zao kwa roho waovu wenye umbo la mbuzi,*+ wanaofanya nao ukahaba.+ Hiyo itakuwa sheria ya kudumu kwa ajili yenu katika vizazi vyenu vyote.”’
8 Hakuacha ukahaba aliofanya huko Misri, kwa maana walilala naye alipokuwa kijana, nao walipapasa-papasa kifua chake cha ubikira na kummwagia uchu wao.*+