2 Wafalme 2:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kisha akatoka na kwenda kwenye chemchemi ya yale maji, akatupa chumvi ndani yake+ na kusema: “Yehova amesema hivi, ‘Ninafanya maji haya kuwa yenye afya.+ Hayatatokeza tena kifo wala kuharibika mimba.’”
21 Kisha akatoka na kwenda kwenye chemchemi ya yale maji, akatupa chumvi ndani yake+ na kusema: “Yehova amesema hivi, ‘Ninafanya maji haya kuwa yenye afya.+ Hayatatokeza tena kifo wala kuharibika mimba.’”