Kutoka 15:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kisha yeye akamlilia Yehova.+ Basi Yehova akamwelekeza kwenye mti fulani, naye akautupa ndani ya maji nayo maji yakawa matamu.+ Hapo Yeye akawawekea sharti na kesi ya kuhukumia na hapo akawatia katika jaribu.+ 2 Wafalme 4:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Kwa hiyo akasema: “Basi leteni unga.” Baada ya kuutupa ndani ya kile chungu, akaendelea kusema: “Wapakulieni watu ili wale.” Na hakuna chochote chenye kudhuru kilichokuwa ndani ya kile chungu.+
25 Kisha yeye akamlilia Yehova.+ Basi Yehova akamwelekeza kwenye mti fulani, naye akautupa ndani ya maji nayo maji yakawa matamu.+ Hapo Yeye akawawekea sharti na kesi ya kuhukumia na hapo akawatia katika jaribu.+
41 Kwa hiyo akasema: “Basi leteni unga.” Baada ya kuutupa ndani ya kile chungu, akaendelea kusema: “Wapakulieni watu ili wale.” Na hakuna chochote chenye kudhuru kilichokuwa ndani ya kile chungu.+