Kutoka 15:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kisha yeye akamlilia Yehova.+ Basi Yehova akamwelekeza kwenye mti fulani, naye akautupa ndani ya maji nayo maji yakawa matamu.+ Hapo Yeye akawawekea sharti na kesi ya kuhukumia na hapo akawatia katika jaribu.+ 2 Wafalme 2:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kisha akatoka na kwenda kwenye chemchemi ya yale maji, akatupa chumvi ndani yake+ na kusema: “Yehova amesema hivi, ‘Ninafanya maji haya kuwa yenye afya.+ Hayatatokeza tena kifo wala kuharibika mimba.’”
25 Kisha yeye akamlilia Yehova.+ Basi Yehova akamwelekeza kwenye mti fulani, naye akautupa ndani ya maji nayo maji yakawa matamu.+ Hapo Yeye akawawekea sharti na kesi ya kuhukumia na hapo akawatia katika jaribu.+
21 Kisha akatoka na kwenda kwenye chemchemi ya yale maji, akatupa chumvi ndani yake+ na kusema: “Yehova amesema hivi, ‘Ninafanya maji haya kuwa yenye afya.+ Hayatatokeza tena kifo wala kuharibika mimba.’”