2 Wafalme 2:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kisha akatoka na kwenda kwenye chemchemi ya maji hayo, akatupa chumvi ndani yake+ na kusema: “Yehova anasema hivi: ‘Nimeyaponya maji haya. Hayatasababisha tena kifo wala utasa.’”*
21 Kisha akatoka na kwenda kwenye chemchemi ya maji hayo, akatupa chumvi ndani yake+ na kusema: “Yehova anasema hivi: ‘Nimeyaponya maji haya. Hayatasababisha tena kifo wala utasa.’”*