Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 16:2, 3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kisha kusanyiko lote la Waisraeli likaanza kuwanung’unikia Musa na Haruni nyikani.+ 3 Waisraeli waliendelea kuwanung’unikia wakisema: “Laiti mkono wa Yehova ungetuua katika nchi ya Misri tulipokuwa tukiketi kando ya vyungu vya nyama,+ tulipokuwa tukila na kushiba mikate. Sasa mmetutoa huko na kutuleta katika nyika hii ili kuliua kusanyiko hili lote kwa njaa kali.”+

  • Kutoka 17:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Lakini watu walikuwa na kiu sana mahali hapo, nao wakaendelea kumnung’unikia Musa+ wakisema: “Kwa nini umetupandisha kutoka Misri ili kutuua kwa kiu sisi na wana wetu na mifugo yetu?”

  • 1 Wakorintho 10:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Basi mambo hayo yalikuwa vielelezo kwetu, ili tusitamani mambo mabaya, kama wao walivyotamani.+

  • 1 Wakorintho 10:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Wala tusiwe wanung’unikaji,+ kama baadhi yao walivyonung’unika, wakaangamizwa na mwangamizaji.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki