1 Samweli 12:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Basi akawaambia: “Yehova ni shahidi dhidi yenu, na mtiwa-mafuta wake ni shahidi leo kwamba hamkupata shtaka lolote dhidi yangu.”* Nao wakasema: “Yeye ni shahidi.”
5 Basi akawaambia: “Yehova ni shahidi dhidi yenu, na mtiwa-mafuta wake ni shahidi leo kwamba hamkupata shtaka lolote dhidi yangu.”* Nao wakasema: “Yeye ni shahidi.”