9 Ndipo Samweli akachukua mwana-kondoo anayenyonya, akamtoa kwa Yehova kuwa toleo la kuteketezwa,+ toleo zima; na Samweli akaanza kumwomba Yehova msaada kwa ajili ya Israeli,+ naye Yehova akamjibu.+
16 Kwa hiyo ungameni+ waziwazi dhambi zenu kwa mtu na mwenzake na kusali kwa ajili ya mtu na mwenzake, ili mponywe.+ Dua ya mtu mwadilifu, inapofanya kazi, ina nguvu nyingi.+