Zaburi 17:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Umeuchunguza moyo wangu, umefanya ukaguzi wakati wa usiku,+Umenisafisha; utagundua kwamba sijapanga hila.+Kinywa changu hakitafanya kosa.+ Zaburi 37:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Mwangalie mtu asiye na lawama na uendelee kumwangalia mnyoofu,+Kwa maana wakati ujao wa mtu huyo utakuwa wenye amani.+ Yohana 18:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Pilato akamwambia: “Kweli ni nini?” Na baada ya kusema hili, akatoka tena kwenda kwa Wayahudi na kuwaambia: “Mimi sioni kosa lolote ndani yake.+ Matendo 20:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Sikutamani fedha au dhahabu au vazi la mtu.+ 1 Wathesalonike 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa kweli, hakuna wakati wowote ambao sisi tumetokea ama tukiwa na maneno laini,+ (kama mnavyojua) au tukiwa na unafiki+ kwa ajili ya tamaa,+ Mungu ni shahidi!
3 Umeuchunguza moyo wangu, umefanya ukaguzi wakati wa usiku,+Umenisafisha; utagundua kwamba sijapanga hila.+Kinywa changu hakitafanya kosa.+
37 Mwangalie mtu asiye na lawama na uendelee kumwangalia mnyoofu,+Kwa maana wakati ujao wa mtu huyo utakuwa wenye amani.+
38 Pilato akamwambia: “Kweli ni nini?” Na baada ya kusema hili, akatoka tena kwenda kwa Wayahudi na kuwaambia: “Mimi sioni kosa lolote ndani yake.+
5 Kwa kweli, hakuna wakati wowote ambao sisi tumetokea ama tukiwa na maneno laini,+ (kama mnavyojua) au tukiwa na unafiki+ kwa ajili ya tamaa,+ Mungu ni shahidi!