Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 37:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Naye atauleta uadilifu wako kama nuru,+

      Na haki yako kama katikati ya mchana.+

  • Danieli 6:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ndipo maofisa wakuu na maliwali walikuwa wanatafuta daima kisingizio fulani juu ya Danieli kuhusiana na ufalme huo;+ lakini hawakuweza kupata kisingizio chochote wala jambo lolote lenye ufisadi, kwa vile alikuwa mwenye kutegemeka wala haukupatikana ndani yake uzembe wowote wala jambo lolote lenye ufisadi.+

  • 1 Timotheo 3:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa hiyo mwangalizi anapaswa kuwa asiyelaumika,+ mume wa mke mmoja, mwenye kiasi+ katika mazoea, mwenye utimamu wa akili,+ mwenye utaratibu,+ mkaribishaji-wageni,+ mwenye sifa za kustahili kufundisha,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki