Zaburi 37:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Mwovu anampangia hila mwadilifu,+Naye anamsagia meno yake.+ Methali 29:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Mtu asiyetenda kwa haki ni chukizo kwa waadilifu,+ na mtu mnyoofu katika njia yake ni chukizo kwa mwovu.+ Mhubiri 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nami nimeona kazi yote ngumu na ustadi wote katika kazi,+ ya kwamba maana yake ni mashindano kati ya mtu na mwenzake;+ hilo pia ni ubatili na kufuatilia upepo.
27 Mtu asiyetenda kwa haki ni chukizo kwa waadilifu,+ na mtu mnyoofu katika njia yake ni chukizo kwa mwovu.+
4 Nami nimeona kazi yote ngumu na ustadi wote katika kazi,+ ya kwamba maana yake ni mashindano kati ya mtu na mwenzake;+ hilo pia ni ubatili na kufuatilia upepo.