Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 4:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 hakumtazama Kaini na toleo lake kwa kibali chochote.+ Ndipo Kaini akawaka hasira,+ na uso wake ukaanza kukunjamana.

  • Mathayo 27:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa maana alijua kwamba walikuwa wamemtia mikononi mwake+ kwa sababu ya wivu.+

  • Wagalatia 5:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Na tusiwe wenye kujisifu, wenye kuchochea mashindano+ juu ya mtu na mwenzake, tukioneana wivu.+

  • Yakobo 4:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Au je, inaonekana kwenu kwamba andiko linasema hivi bila kusudi lolote: “Roho+ ambayo imefanya makao ndani yetu hutamani kuwa na mwelekeo wa kuona wivu”?

  • 1 Yohana 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 si kama Kaini, aliyetokana na yule mwovu akamuua+ ndugu yake. Naye alimuua kwa nini? Kwa sababu matendo yake mwenyewe yalikuwa maovu,+ lakini yale ya ndugu yake yalikuwa ya uadilifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki