5 Au je, inaonekana kwenu kwamba andiko linasema hivi bila kusudi lolote: “Roho+ ambayo imefanya makao ndani yetu hutamani kuwa na mwelekeo wa kuona wivu”?
12 si kama Kaini, aliyetokana na yule mwovu akamuua+ ndugu yake. Naye alimuua kwa nini? Kwa sababu matendo yake mwenyewe yalikuwa maovu,+ lakini yale ya ndugu yake yalikuwa ya uadilifu.+