Methali 27:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kuna ukatili wa ghadhabu, pia furiko la hasira,+ lakini ni nani anayeweza kusimama mbele ya wivu?+ Yohana 12:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa hiyo Mafarisayo+ wakasema kati yao wenyewe: “Ninyi mnaona kwamba hamfanikiwi kamwe. Oneni! Ulimwengu umemfuata.”+ Waroma 1:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 wakiwa wamejawa na ukosefu wote wa uadilifu,+ uovu,+ tamaa,+ ubaya,+ wakiwa wamejaa wivu,+ uuaji,+ mizozo,+ udanganyifu,+ mwelekeo wenye madhara,+ wakiwa wanong’onezaji,+
19 Kwa hiyo Mafarisayo+ wakasema kati yao wenyewe: “Ninyi mnaona kwamba hamfanikiwi kamwe. Oneni! Ulimwengu umemfuata.”+
29 wakiwa wamejawa na ukosefu wote wa uadilifu,+ uovu,+ tamaa,+ ubaya,+ wakiwa wamejaa wivu,+ uuaji,+ mizozo,+ udanganyifu,+ mwelekeo wenye madhara,+ wakiwa wanong’onezaji,+