4 Nami nimeona kazi yote ngumu na ustadi wote katika kazi,+ ya kwamba maana yake ni mashindano kati ya mtu na mwenzake;+ hilo pia ni ubatili na kufuatilia upepo.
7 Kwa maana ni nani anayekufanya wewe kuwa tofauti+ na mwingine? Kwa kweli, una nini ambacho hukupokea?+ Basi, ikiwa kwa kweli ulikipokea,+ kwa nini unajisifu+ kana kwamba hukukipokea?
4 Lakini kila mmoja na athibitishe kazi yake mwenyewe ni nini,+ kisha atakuwa na sababu ya kufurahi kwa habari yake mwenyewe peke yake, na si kwa kujilinganisha+ na mtu yule mwingine.