Mhubiri 2:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa maana kuna mwanadamu ambaye amefanya kazi yake ngumu kwa hekima na kwa ujuzi na kwa ustadi,+ lakini mwanadamu ambaye hakufanyia kazi ngumu kitu hicho atapewa fungu lake huyo.+ Hilo pia ni ubatili na msiba mkubwa.+
21 Kwa maana kuna mwanadamu ambaye amefanya kazi yake ngumu kwa hekima na kwa ujuzi na kwa ustadi,+ lakini mwanadamu ambaye hakufanyia kazi ngumu kitu hicho atapewa fungu lake huyo.+ Hilo pia ni ubatili na msiba mkubwa.+