31 Mwishowe Sulemani akalala pamoja na mababu zake. Basi wakamzika katika Jiji la Daudi baba yake;+ na Rehoboamu+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.+
18 Nami, naam mimi, nikachukia kazi yangu yote iliyo ngumu ambayo niliifanya kwa bidii chini ya jua,+ ambayo ningemwachia mtu ambaye angekuja baada yangu.+
15 Alivyotoka mtu katika tumbo la mama yake, ndivyo atakavyoenda tena akiwa uchi,+ kama alivyokuja; wala hakuna chochote ambacho mtu anaweza kwenda nacho+ kwa ajili ya kazi yake ngumu, anachoweza kukichukua mkononi mwake.