1 Wafalme 4:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Na hekima ya Sulemani ilikuwa pana+ zaidi kuliko hekima ya watu wengine wote wa Mashariki+ na kuliko hekima yote ya Misri.+ 2 Mambo ya Nyakati 1:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 unapewa hekima na ujuzi;+ pia nitakupa mali na utajiri na heshima ambavyo hakuna mfalme yeyote aliyekutangulia amepata kuwa navyo,+ wala baada yako hakuna yeyote atakayekuwa navyo.”+
30 Na hekima ya Sulemani ilikuwa pana+ zaidi kuliko hekima ya watu wengine wote wa Mashariki+ na kuliko hekima yote ya Misri.+
12 unapewa hekima na ujuzi;+ pia nitakupa mali na utajiri na heshima ambavyo hakuna mfalme yeyote aliyekutangulia amepata kuwa navyo,+ wala baada yako hakuna yeyote atakayekuwa navyo.”+